Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania IGP Camillus Wambura, leo 19 Oktoba 2022 ametembelea ofisi za ubalozi wa Tanzania uliopo nchini India na kufanya mazungumzo na Balozi wa Tanzania, Mhe. Anisa Mbega na kujadiliana mambo mbalimbali ikiwemo kutafuta fursa mbalimbali nchini humo hususani za kimasomo ili kuwezesha askari Polisi kufanya kazi kwa umahiri zaidi ikiwemo matumizi ya Sayansi na tekinolojia katika kuzuia uhalifu na wahalifu.

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...