Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akikagua ujenzi wa daraja la JPM,  Kigongo – Busisi mkoani Mwanza, Oktoba 16, 2022.  Kulia ni Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Godfrey  Kasekenya na kulia kwa Waziri Mkuu ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Adam Malima. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akikagua  maendeleo ya ujenzi wa daraja la JPM,  Kigongo – Busisi mkoani Mwanza, Oktoba 16, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Muonekano wa  maendeleo ya ujenzi wa daraja la JPM, Kigongo -Busisi Mkoani Mwanza ambalo Waziri Mkui, Kassim Majaliwa alikagua ujenzi wake, Oktoba 16, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)




Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akikagua ujenzi wa daraja la JPM,  Kigongo – Busisi mkoani Mwanza, Oktoba 16, 2022.  Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Adam Malima.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Muonekano wa  maendeleo ya ujenzi wa daraja la JPM, Kigongo -Busisi Mkoani Mwanza ambalo Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alikagua ujenzi wake, Oktoba 16, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...