Waziri wa Uwekezaji ,Viwanda na Biashara ,Mhe.Dkt.Ashatu Kijaji leo tarehe 8 Oktoba,2022 ametembelea banda la Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) alipotembelea mabanda mbalimbali kabla ya kufunga Maonesho ya Tano ya Teknlojia ya Madini katika viwanja vya uwekezaji EPZA Bombambili Mkoani Geita ambapo kupitia Maonesho hayo Mfuko uliweza kutoa elimu ya Hifadhi ya  Jamii, huduma ikiwemo kusajili wanachama wapya kutoka sekta binafsi na sekta isiyo rasmi wakiwemo wachimbaji wadogo wa madini.





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...