Waziri wa Uwekezaji ,Viwanda na Biashara ,Mhe.Dkt.Ashatu Kijaji leo tarehe 8 Oktoba,2022 ametembelea banda la Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) alipotembelea mabanda mbalimbali kabla ya kufunga Maonesho ya Tano ya Teknlojia ya Madini katika viwanja vya uwekezaji EPZA Bombambili Mkoani Geita ambapo kupitia Maonesho hayo Mfuko uliweza kutoa elimu ya Hifadhi ya Jamii, huduma ikiwemo kusajili wanachama wapya kutoka sekta binafsi na sekta isiyo rasmi wakiwemo wachimbaji wadogo wa madini.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...