Ofisi ya Mfuko wa Taifa  wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) Mkoa wa Geita imezindua wiki ya huduma kwa wateja 2022 kwa kishindo yenye kauli mbiu “Huduma bora Kipaumbele chetu" ambapo kwa mwafanyakazi wa NSSF Geita walijumuika na wateja waliofika ofisini hapo kusherekea  kwa pamoja wiki ya huduma kwa wateja. 

 






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...