Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Chen Mingjian mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 01 Oktoba, 2022.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea zawadi ya kitabu kutoka Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Chen Mingjian mara baada ya mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 01 Oktoba, 2022.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Chen Mingjian mara baada mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 01 Oktoba, 2022. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Chen Mingjian mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 01 Oktoba, 2022. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuelekeza jambo Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Chen Mingjian kabla ya kuanza mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 01 Oktoba, 2022.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...