Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Queen Sendiga (kulia) akizungumza na wananchi wa kijiji cha Luanda wilaya ya Kalambo leo kuhusu ukamilishaji wa miundombinu ya shule shikizi ili wanafunzi wasome kwenye mazingira bora ambapo ameitaka halmashauri hiyo kupeleka mwalimu na kuweka madawati. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya hiyo Tano Mwera.



Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Queen Sendiga (katikati) akizungumza na Mkuu wa Wilaya ya Kalambo Tano Mwera (kushoto) na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Dkt. Ibrahim Isaack leo alipotembelea kukagua ujnzi wa hospitali ya wilaya Kalambo na kutoridhishwa na mradi huo kutokamilika kwa wakati.
(Habari na Picha na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...