
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akimkabidhi zawadi yenye mfano wa jengo la Bunge Balozi wa Qatar nchini Tanzania, Mhe. Hussain bin Ahmad Al-Homaid tukio lililofanyika katika Ofisi ndogo za Bunge zilizopo Jijini Dar es Salaam leo tarehe 19 Oktoba, 2022
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Qatar nchini Tanzania, Mhe. Hussain bin Ahmad Al-Homaid katika Ofisi ndogo za Bunge zilizopo Jijini Dar es Salaam leo tarehe 19 Oktoba, 2022
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akiagana na Balozi wa Qatar nchini Tanzania, Mhe. Hussain bin Ahmad Al-Homaid katika Ofisi ndogo za Bunge zilizopo Jijini Dar es Salaam mara baada ya mazungumzo yaliyofanyika leo tarehe 19 Oktoba, 2022
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...