Ni saa 11 Alfajiri katika viwanja vya Leaders jijini Dar es salaam na wakimbiaji wa Mwendo wa Upendo  NMB Marathon 2022 tayari wamewasili leo Jumamosi Oktoba 1

Wakimbiaji wakipiga jalamba kabla ya kuanza mbio hizo























































Mabingwa wa NMB Marathon KM21 mwaka huu kwa wanaume na wanawake ni mtu na mkewe - Faraja Lazarus na Magdalena Shauri

Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa CCBRT Brenda Msangi akimshukuru Afisa Mtendaji Mkuu wa benki ya NMB Bi. Ruth Zaipuna kwa kufanikisha jambo lao la kukusanya Tsh milioni 600 kwa ajili kinamama wenye changamoto za FISTULA kupitia Mwendo wa Upendo wa NMB Marathon 2022.
 












Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa CCBRT Brenda Msangi akimshukuru Afisa Mtendaji Mkuu wa benki ya NMB Bi. Ruth Zaipuna kwa kufanikisha jambo lao la kukusanya Tsh milioni 600 kwa ajili kinamama wenye changamoto za FISTULA kupitia Mwendo wa Upendo wa NMB Marathon 2022.
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...