Muonekano wa hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa jengo la abiria katika Kiwanja cha Ndege cha Songwe ambapo hadi sasa umefikia asilimia 68. Jengo hilo litakapokamilika litakuwa na uwezo wa kuhudumia abiria 600 kwa wakati mmoja.

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa akikagua kazi za uwekaji ngazi za kwenye jengo la abiria katika Kiwanja cha Ndege cha Songwe. Mkoani Mbeya.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...