Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa (katikati) akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi jezi kwa wachezaji walioibuka "MVPs" katika 'CRDB Bank Taifa Cup' kwa mwaka 2020 na 2021 ambao wataunda timu zitakazochuana hapo kesho kwenye viwanja vya Don Bosco Oysterbay,  jijini Dar es salaam ikiwa ni sehemu ufunguzi wa msimu wa tatu wa 'CRDB Bank Taifa Cup 2022'. Hafla ya kukabidhi jezi hizo imefanyika leo kwenye makao makuu ya Benki ya CRDB, Upanga jijini Dar es salaam. Wachezaji hao ni Rehema Weston na Baraka Sadiki walio upande wa kulia (MVPs 2020), Noela Renatus na Alinani Thomas (MVPs 2021).

 
Katibu Mkuu wa TBF, Mwenze Kabinda (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji walioibuka "MVPs" katika 'CRDB Bank Taifa Cup' kwa mwaka 2020 na 2021 ambao wataunda timu zitakazochuana hapo kesho kwenye viwanja vya Don Bosco Oysterbay,  jijini Dar es salaam, ikiwa ni sehemu ufunguzi wa msimu wa tatu wa 'CRDB Bank Taifa Cup 2022'.
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa akimkabidhi jezi Rehema Weston (MVP 2020) ambaye ataiongoza timu Rehema katika mchezo utakaochezwa hapo kesho kwenye viwanja vya Don Bosco Oysterbay,  jijini Dar es salaam ikiwa ni sehemu ufunguzi wa msimu wa tatu wa 'CRDB Bank Taifa Cup 2022'.
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa akimkabidhi jezi Baraka Sadiki (MVP 2020) ambaye ataiongoza timu Baraka katika mchezo utakaochezwa hapo kesho kwenye viwanja vya Don Bosco Oysterbay,  jijini Dar es salaam ikiwa ni sehemu ufunguzi wa msimu wa tatu wa 'CRDB Bank Taifa Cup 2022'.
 
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa akimkabidhi jezi Alinani Thomas (MVP 2021) ambaye ataiongoza timu Alinani katika mchezo utakaochezwa hapo kesho kwenye viwanja vya Don Bosco Oysterbay,  jijini Dar es salaam ikiwa ni sehemu ufunguzi wa msimu wa tatu wa 'CRDB Bank Taifa Cup 2022'.
 
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa akimkabidhi jezi Noela Renatus (MVP 2021) ambaye ataiongoza timu Noela katika mchezo utakaochezwa hapo kesho kwenye viwanja vya Don Bosco Oysterbay,  jijini Dar es salaam ikiwa ni sehemu ufunguzi wa msimu wa tatu wa 'CRDB Bank Taifa Cup 2022'.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...