Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipoongoza Kikao Kazi cha Mawaziri na Naibu Mawaziri kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma,



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipoongoza Kikao Kazi cha Mawaziri na Naibu Mawaziri kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma, Novemba 8, 2022. Kulia ni Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Dkt, John Jingu.



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipoongoza Kikao Kazi cha Mawaziri na Naibu Mawaziri kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma, Novemba 8, 2022. Kushoto kwake ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, George Simbachawene na kushoto kwake ni Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Dkt, John Jingu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...