Waziri Mkuu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Tekinolojia ya Habari, Nape Nnauye wakati alipowasili kwenye Viwanja vya Chuo cha Ualimu Nachingwea kushiriki katika Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa CCM Mkoa wa Lindi, Novemba 20, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)






Waziri Mkuu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa , Kassim Majaliwa akiwapungia wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wa Uchaguzi Mkoa wa Lindi wakati alipowasili kwenye ukumbi wa Chuo cha Ualimu Nachingwea kushiriki katika mkutano huo, Februari 20, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Waziri Mkuu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa, Kassim Majaliwa akitoa salamu katika Mkutano Mkuu wa CCM wa Uchaguzi Mkoa wa Lindi kwenye ukumbi wa Chuo cha Ualimu Nachingwea, November 20, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Baadhi ya Washirki wa Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa CCM Mkoa wa Lindi wakifuatilia matukio mbalimbali katika mkutano huo kwenye ukumbi wa Chuo cha Ualimu Nachingwea, Novemba 20, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)








Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...