

Hii ndio tuzo waliyopewa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa
N Fredy Mgunda,Iringa.
MANISPAA ya Iringa imepata zawadi ya cheti na fedha kiasi cha shilingi milioni kumi (10,000,000) Ikiongozwa na mshindi wa kwanza Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga ambao wamejipatia cheti na fedha shilingi milioni 15 na mshindi wa tatu ni Halmashauri ya Manispaa ya Moshi amboyo imepsta cheti na sh milioni tano.
Tukio hilo la ugawaji wa vyeti na zawadi lilifanywa na Mgeni rasmi Naibu katibu Mkuu wizara ya Afya Dkt.Seif Shekalaghe
Novemba 19,2022 Katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma kwenye kilele cha wiki ya usafi kitaifa na maadhimisho ya siku ya choo Duniani.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...