Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Hifadhi ya Jamii, Bw. Omary Mziya akizungumza na wananchi wa Mwanza kuhusu sekta ya hifadhi wakati wa zoezi la uelimishaji umma katika maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa yanayofanyika viwanja vya Rock City Mall, Jijini Mwanza, Novemba 22, 2022.
Baadhi  ya washiriki na wakazi wa Mwanza wakiwa kwenye viwanja vya Rock City Mall wakimsikiliza Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Hifadhi ya Jamii, Bw. Omary Mziya (hayupo pichani) wakati wa zoezi la uelimishaji umma katika maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa, Jijini Mwanza.
Afisa Uhusiano kutoka Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), Bw. Abdul Njaidi akitoa elimu kwa wakazi wa Mwanza kuhusu huduma zinazotolewa na mfuko huo wakati wa zoezi la uelimishaji umma katika maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa yanayofanyika viwanja vya Rock City Mall, Mwanza.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...