Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Magohu Nzonzo akifungua mafunzo kwa watumishi wa ofisi hiyo kuhusu usimamizi wa sheria ya gharama za uchaguzi leo jijini Dodoma. Mafunzo hayo yanafanyika kufuatia kuwepo kwa uchaguzi mdogo wa Ubunge jimbo la Amani Zanzibar na Madiwani wa kata 12 za Tanzania Bara unaotarajiwa kufanyika tarehe 17 Desesmba 2022. (Picha na ORPP)
Baadhi ya washiriki wa mafunzo kuhusu usimamizi wa sheria ya gharama za uchaguzi toka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa wakifuatilia mada wakati wa mafunzo hayo leo katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma. Mafunzo hayo yanafanyika kufuatia kuwepo kwa uchaguzi mgodo wa Ubunge jimbo la Amani Zanzibar na Madiwani wa kata 12 za Tanzania Bara unaotarajiwa kufanyika tarehe 17 Desemba 2022. (Picha na ORPP)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...