Waziri Mkuu Mheshimiwa Kassim Majaliwa, akisalimiana na Katibu Mkuu Ikulu (Utawala, fedha na Urithi) Bi. Maria Auxiliandora Fragoso Pascoal, mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Luanda Nchini Angola ambako atamuwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa 10 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiaya ya Nchi za Afrika, Karibian na Pasifiki (OACPS). Leo tarehe 9.12.2022.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...