Baraza La Biashara Afrika Mashariki (EABC) limewateua waTanzania 3 kuwa mabalozi wa Baraza hilo nchini.

 Hii ni kuhakikisha baraza hilo linatimiza wajibu wake ipasavyo na kufanya biashara na uwekezaji kati ya Tanzania na nchi za Afrika Mashariki zinashamiri bila vikwazo. 

Baraza limewateua

Raphael Maganga - Mtaalamu wa Diplomasia ya Uchumi TPSF

Ms. Mercy Sila - Mwenyekiti wa Tanzania Women Chamber of Commerce 
Dr. Samuel Nyantahe - Mkurugenzi Mtendaji Daima Associates

EABC iliundwa 1998, kama kiungo muhimu  katika  mkataba wa Jumuiya Ya Afrika Mashariki (EAC Treaty) Ambao ulilisisitiza ushiriki wa sekta binafsi ili kufikia maendeleo enedelevu ya kijamii, kiuchumi na kisiasa.  Baraza hill ndio mwamvuli wa vyama vyote vya biashara katika nchi zote 7 za Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...