Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) katika kikao na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ndg. Charles Kichere pamoja na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais -Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Angellah Kairuki, Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Dkt. Festo Dugange pamoja na Watendaji wengine wa Wizara hiyo.

Kamati za Kudumu za Bunge zinaendelea na vikao ambavyo vimeanza tangu tarehe 9 Januari na vinatarajiwa kumalizika tarehe 29 Januari, 2023 kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Kumi wa Bunge.






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...