Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk. Angeline Mabula akihutubia wakati wa hafla ya uzinduzi wa huduma ya mkopo wa nyumba ulioboreshwa wa Benki ya Absa jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Meneja Bidhaa za Mikopo wa Benki ya Absa Tanzania, Patricia Nguma akitoa maelezo kuhusu huduma za mikopo ya nyumba za Absa wakati wa hafla hiyo jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...