RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi (kulia) akimsikiliza Kiongozi wa Kampuni ya Puma Afrika Bw.Fadi Mitri  akiongoza Ujumbe wa Kampuni hiyo (hawapo pichani) ulipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa  mazungumzo yanayohusu  masuala mbali mbali ikiwemo uwekezaji wa Biashara ya Mafuta hapa Zanzibar.[Picha na Ikulu] 15/02/2023.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi (kulia) akimsikiliza Kiongozi wa Kampuni ya Puma Afrika Bw.Fadi Mitri (wa pili kulia) akiongoza Ujumbe wa Kampuni hiyo ulipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa  mazungumzo yanayohusu masuala  mbali mbali ikiwemo uwekezaji wa Biashara ya Mafuta hapa Zanzibar.[Picha na Ikulu] 15/02/2023.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi (katikati) akisisitiza jambo wakati alipokuwa na mazungumzo na Ujumbe wa Kampuni ya  Puma Afrika ukiongozwa na Kiongozi Mkuu Bw.Fadi Mitri (wa pili kulia) walipofika Ikulu Jijini Zanzibar,mazungumzo hayo yanahusu masuala mbali mbali ikiwemo   Bishara ya Mafuta hapa Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa akizungumza na  Ujumbe wa Kampuni ya  Puma Afrika ukiongozwa na Kiongozi Mkuu Bw.Fadi Mitri (wa pili kulia) ulipofika Ikulu Jijini Zanzibar,mazungumzo hayo yaliyogusa masuala mbali mbali ikiwemo uwekezaji   katika Bishara ya Mafuta hapa Zanzibar.[Picha na Ikulu] 15/02/2023.   

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...