Meneja wa bia ya Pilsner Lager kutoka kampuni ya bia ya Serengeti Breweries Wankyo Marando (kulia) akizungumza kwa njia ya mtandao na baadhi ya washindi waliopatikana kwenye droo ya pili ya promosheni ya bia hiyo ijulikanayo kama 'Kapu la Wana' iliyofanyika Jumatatu jijini Dar es Salaam.

Kushoto ni Salim Mgufi, Mkaguzi wa michezo ya kubahatisha kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania. Promosheni hiyo ni maalaum kwa wanywaji wa bia ya Pilsner mikoa ya kanda ya Ziwa, Kusini na Kaskazini. 

Promosheni ya 'Kapu la Wana' ilizinduliwa tarehe 2 Februari na inatarajiwa kuendeshwa kwa kipindi cha wiki nane, ambapo washindi watajishindia zawadi mbali mbali zikiwemo, simu janja, televisheni za kisasa, pikipiki na zawadi kubwa ya mwisho itakuwa ni gari.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...