Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana Februari 23, 2023 amefanya ziara katika Ofisi ya Mfuko wa Utamaduni na Sanaa jijini Dar es Salaam, ikiwa ni mara ya kwanza tangu ateuliwe kuongoza wizara hiyo.

Mhe. Waziri Chana  aliambatana na Naibu Waziri wa wizara hiyo Mhe. Pauline Gekul, Mkurugenzi  Idara ya Utamaduni Dkt. Emmanuel Temu na  Mkurugenzi wa Idara ya Sanaa Dkt. Emmanuel Ishengoma.

Hata hivyo Mhe. Waziri alipata nafasi ya kuzungumza na  baadhi ya Wadau wa Sekta hizo ambao  walinufaika  na mikopo iliyotolewa na Mfuko huo hivi karibuni.










Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...