Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Songoro Mnyonge ( wa pili kushoto) akikabidhi cheti cha shukrani kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Biashara ya DCB, Zawadia Nanyaro ( katikati ) na Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Isidori Msaki kilichotolewa na Uongozi wa Shule ya Mtakuja kwa kutambua mchango wa DCB kwa maendeleo ya shule hiyo. Ilikuwa ni baada ya kupokea msaada wa madawati 30 shuleni hapo, Kunduchi, Dar es Salaam leo. Wengine kutoka kushoto ni .Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, Hanifa Suleimani Hamza na Kaimu Ofisa Elimu wa Manispaa hiyo, Msingwa Ibrahimu.
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Songoro Mnyonge ( wa pili kushoto) akikabidhi cheti cha shukrani kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Biashara ya DCB, Zawadia Nanyaro ( katikati ) na Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Isidori Msaki kilichotolewa na Uongozi wa Shule ya Mtakuja kwa kutambua mchango wa DCB kwa maendeleo ya shule hiyo. Ilikuwa ni baada ya kupokea msaada wa madawati 30 shuleni hapo, Kunduchi, Dar es Salaam leo. Wengine kutoka kushoto ni .Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, Hanifa Suleimani Hamza na Kaimu Ofisa Elimu wa Manispaa hiyo, Msingwa Ibrahimu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...