Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Hassan Abbasi leo Machi 16, 2023 ametembelea mabanda mbalimbali kutoka Tanzania na Afrika ya Kusini yaliyoshiriki kuonesha bidhaa zao na huduma kwenye Mkutano wa Pili wa Tume ya Pamoja ya Ushirikiano (Bi-National Cooperation) kati ya Tanzania na Afrika Kusini.

Mkutano huo umehitimishwa leo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na mwenyeji wake Rais wa Afrika ya Kusini Mhe. Cyril Ramaphosa

Maonesho hayo yalifanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Afrika ya Kusini (CSIR ICC) mjini Pretoria.










Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...