RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amefungua Bohari ya Mafuta Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Unguja, Machi 4, 2023 na kusema kuanzia sasa eneo hilo ndio kituo kikuu cha Biashara ya mafuta Visiwani Zanzibar.
Taarifa kamili iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu na kusainiwa na Mkurugenzi wake Bw. Charles Hilary imefafanua zaidi hapo chini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...