Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akiteremka kutoka kwenye gari lenye maabara inayotumika kupima ugonjwa wa Kifua Kikuu katika maeneo mbalimbali wakati alipotembelea mabanda ya monyesho ya Maadhimisho ya Siku ya Kifua Kikuu Duniani yaliyofanyika kitaifa kwenye uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi mkoani Simiyu, Machi 24, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa , Mwalimu wa panya wanaonusa na kubaini mate au makohozi yenye vijidudu vya ugonjwa wa Kifua Kikuu, Mariam Chamkwata wa Chuo Kikuu cha Kilimo, Sokoine cha Morogoro, katika maonyesho ya Maadhimisho ya Siku ya Kifua Kikuu Duniani yaliyofanyika kitaifa  kwenye uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu,   Machi 24, 2023. Wa pili kulia ni Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi wakati alipowasili kwenye uwanja a Halmashauri ya Mji wa Bariadi mkoani Simiyu kuwa mgeni rasmi katika  Maadhimisho ya Siku ya Kifua Kikuu Duniani, Machi 23, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...