Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na baadhi ya viongozi wakiwa katika picha ya pamoja na wahitimu wa mafunzo ya Nane ya Programu ya Mwanamke Kiongozi (waliosimama) baada ya kufungua Mkutano wa Tano wa Mwanamke Kiongozi 2023 kwenye ukumbi wa hoteli ya Serena jijini Dar es salaam, Machi 10, 2023.
Baadhi ya viongozi wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipofungua Mkutano wa Tano wa Mwanamke Kiongozi 2023 kwenye ukumbi wa hoteli ya Serena jijini Dar es salaam, Machi 10, 2023.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...