Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  na baadhi ya viongozi wakiwa katika picha ya pamoja na wahitimu wa mafunzo ya Nane  ya Programu ya  Mwanamke Kiongozi  (waliosimama) baada ya kufungua Mkutano wa Tano wa Mwanamke Kiongozi 2023 kwenye ukumbi wa hoteli ya Serena jijini Dar es salaam, Machi 10, 2023.

Baadhi ya viongozi wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipofungua Mkutano wa Tano wa Mwanamke Kiongozi 2023 kwenye ukumbi wa hoteli ya Serena jijini Dar es salaam, Machi 10, 2023.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...