Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (katikati), Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) (kushoto) na Waziri wa Kilimo, Mhe.  Hussein Bashe (Mb) wakiwa katika kikao kazi na wataalamu kutoka Wizara hizo wakiangazia namna ya kukuza  Uwekezaji, Viwanda, Biashara na Kilimo, jijini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Dkt. Natu El- Maamry Mwamba (kushoto) akiwa na wataalamu wengine wakati wa kikao kazi na Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) na Waziri wa Kilimo, Mhe.  Hussein Bashe (Mb) (hawapo pichani), kilichofanyika, jijini Dodoma.

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) na Waziri wa Kilimo, Mhe.  Hussein Bashe (Mb) (mbele), wakiwa katika kikao kazi na wataalamu kutoka Wizara hizo tatu, jijini Dodoma.

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (katikati), Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) (kushoto) na Waziri wa Kilimo, Mhe.  Hussein Bashe (Mb) wakiwa katika kikao kazi na wataalamu kutoka Wizara hizo wakiangazia suala la Uwekezaji, Viwanda, Biashara na Kilimo, jijini Dodoma.

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WFM, Dodoma)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...