KAMA unajiuliza wapi utapata mkwanja mrefu wa 20,000,000 na michezo ya kasino ya mtandaoni? Basi hapa Meridianbet wanakuletea mchezo wa Piggy Party ambao mteja wao hii leo amepata milioni ishirini kupitia mchezo huo unaopatikana Meridianbet.

"Piggy Party" ni mchezo maarufu unaopatikana kwenye michezo ya sloti ya Meridianbet na mchezo huu una muundo mzuri na kuvutia, na unawapa wachezaji fursa ya kujishindia zawadi kubwa. Leo mteja wao aliyeshinda Jackpot ya Tsh 20,000,000/= anatokea Temeke Mtoni kwa Aziz Ally na ndiye shahidi wa kuwa pesa hiyo inatoka kwa kucheza mchezo huo.

NB: Ukijisajili Meridianbet unapewa bonasi ya mizunguko 50 ya bure kucheza michezo ya kasino ya mtandaoni. Jisajili na Cheza.

Kama ulikuwa hujui? Jackpot ni zawadi nono inayotolewa kwa mchezaji ambaye anaweza kupata alama zinazohitajika katika mchezo wa sloti. Piggy party ni moja ya michezo ya kasino mtandaoni ambayo inawapatia wachezaji fursa ya kujishindia kiasi kikubwa cha pesa. Kushinda Milioni ishirini kwenye mchezo wa sloti na Meridianbet ni rahisi sana unachotakiwa kufanya ni kucheza sana.

NB: Ukijisajili Meridianbet unapewa bonasi ya mizunguko 50 ya bure kucheza michezo ya kasino ya mtandaoni. Jisajili na Cheza.

Meridianbet inakuhakikishia kuwa wachezaji wao wanapata uzoefu wa kipekee na fursa ya kujishindia zawadi kubwa. Vile vile kasino ya mtandaoni kutoka meridianbet ina michezo mingi inayowapa burudani na ushindi wateja wake mfano wa michezo hio ni kama michezo ya Poker, Aviator, na Blackjack.

Meridianbet inapenda kumpongeza mteja wao kwa ushindi wake mkubwa na wanamshukuru kwa kuwa sehemu ya familia ya Meridianbet. Jiunge na Meridianbet leo na uweze kujiweka kwenye nafasi ya kujishindia Jackpot ya Piggy Party!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...