SIO tu kutumia lugha ya Kiswahili na ki-Yoruba kwenye ngoma yake ya’LabaLaba’ inayomaanisha Kipepeo, ngoma ambayo inamahadhi ya Amapiano, aliyomeshirikiasha na DJ Latitude na Iam Beatz. 

Ayanfe anatarajia kufanya mapinduzi makubwa ya muziki kwa kufanya tour ukanda huu wa Afrika Mashariki ikijumuisha nchi kama Tanzania, Kenya na Uganda.

Ayanfe ambaye hivi karibuni alisaini mkataba wa kurekodi na ALPHA NATION anatarajiwa pia kutoa EP. Na tayari ameshafanya kazi na wasanii wa kubwa kutoka Nigeria hasa kutoka lebo ya DMW ya Davido ambapo miaka miwili iliyopita alifanya kazi na Mayorkun iitwayo WHAT’S GOIN ON na mwaka 2022 akaachia ngoma na Davido iitwayo MIGRATE

Hivyo tarajia pia kupata kolabo za utafauti kwa Ayanfe ambaye hatoufunga mwaka 2023 bila kukupatia kolabo safi kwa wasanii wako pendwa wa Afria Mashariiki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...