Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Ndg.Abdulrahman Kinana amekutana nakuzungumza na Balozi wa Brazil Nchini Tanzania Mhe. Gustavo Martins Nogueira katika Ofisi Ndogo ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam,Juni 21-2023.
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Ndg.Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa Brazil Nchini Tanzania Mhe. Gustavo Martins Nogueira katika Ofisi Ndogo ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam,Juni 21-2023.( Picha na Fahadi Siraji)




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...