Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Ndg.Abdulrahman Kinana amekutana nakuzungumza na Balozi wa Brazil Nchini Tanzania Mhe. Gustavo Martins Nogueira katika Ofisi Ndogo ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam,Juni 21-2023.

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Ndg.Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa Brazil Nchini Tanzania Mhe. Gustavo Martins Nogueira katika Ofisi Ndogo ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam,Juni 21-2023.( Picha na Fahadi Siraji)








Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...