MTU mmoja ambaye jina lake limehifadhiwa, amefanikiwa kujikusanyia kitita cha mamilioni ya pesa kwa kubashiri soka kupitia kampuni ya Meridianbet.

Mshindi huyo ambaye ametambulishwa kama mfalme mpya wa nyumba ya mabingwa, alibashiri bila bando kupitia simu ya mkononi/kitochi na kisha kuweka dau la Tsh 9,000/= tu

Katika mkeka wake wenye odds kubwa na machaguo mazuri tu, ulikuwa na jumla ya odds 1348, na timu alizozipa dhamana ya utajiri wake zilikuwa nane (8) huku kila moja ikimpatia odds kubwa.

Unaweza kujaribu bahati yako pia kwenye michezo ya sloti a kasino ya mtandaoni, ambayo inatoa washindi kila sekunde, michezo kama poker, Aviator na Roulette inaweza kukupa utajiri kirahisi sana.

Alifanya Hivi Kushinda.
Mshindi huyu wa Tsh Milioni 12,138,084/= alichagua ushindi wake uwe wa aina tatu tu, sare kipindi cha kwanza, timu ya ugenini ishinde lakini pia timu ya nyumbani ishinde, kwa kufanya hivi ilitosha kumfanya kuwa Milionea mpya kwa mtaji wa Tsh 9,000/=

NB: Ligi zimeisha chimbo pekee la kusaka mkwanja ni kasino ya mtandaoni, jisajili meridianbet upate mizunguko ya bure kucheza kasino ya mtandaoni, jiunge sasa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...