Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV
Mkurugenzi wa Sheria wa Young Africans SC, Wakili Simon Patrick amechaguliwa na Baraza Kuu la Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kuwa kwenye jopo la Wanasheria watakaolisaidia Shirikisho hilo kwenye masuala mbalimbali ya kisheria kwa wachezaji.
Kwa mujibu wa taarifa iliyothibitishwa na Young Africans SC, imeeleza kuwa Wakili Simon ni Mtanzania pekee kwenye jopo la Wanasheria 21 kutoka sehemu mbalimbali duniani waliochaguliwa na Shirikisho hilo (FIFA) na atahudumu kwenye nafasi hiyo kwa kipindi cha miaka mitatu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...