

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Waziri wa Mambo ya Nje wa India Mhe. Mhe. Subrahmanyam Jaishankar, alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar. 5-7-2023.(Picha na Ikulu)


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalum na mgeni wake Waziri wa Mambo ya Nje wa India Mhe. Subrahamanyam Jaishankar, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, 5-7-2023, kabla ya kuaza kwa hafla ya utiaji wa saini ya uazishwaji wa Tawi la Chuo Kikuu cha Teknologia cha “India Institutes of Technology (IIT)” hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi ya Mlango wa Zanzibar, mgeni wake Waziri wa Mambo ya Nje wa India Mhe. Subrahamanyam Jaishankar, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, 5-7-2023, kabla ya kuaza kwa hafla ya utiaji wa saini ya uazishwaji wa Tawi la Chuo Kikuu cha Teknologia cha “India Institutes of Technology (IIT)” hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.(Picha na Ikulu)



RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na mgeni wake Waziri wa Mambo ya Nje wa India Mhe. Subrahamanyam Jaishankar, baada ya kumalizika mazungumzo yao na hafla ya utiaji wa saini iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar 5-7-2023.(Picha na Ikulu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...