Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Rais wa Malawi Mhe. Dkt. Lazarus
McCarthy Chakwera mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Kamuzu, Lilongwe nchini Malawi tarehe 05 Julai, 2023.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi
mbalimbali mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Kamuzu, Lilongwe nchini Malawi tarehe 05 Julai, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama pamoja na Rais wa Malawi Mhe. Dkt. Lazarus McCarthy Chakwera wakati wa Wimbo wa Taifa wa Tanzania ukiimbwa mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kamuzu, Lilongwe nchini Malawi tarehe 05 Julai, 2023.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na mwenyeji wake Rais wa
Malawi Mhe. Dkt. Lazarus McCarthy Chakwera wakati wakiangalia vikundi
mbalimbali vya ngoma za asili kutoka Lilongwe mara baada ya kuwasili katika
uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kamuzu, nchini Malawi tarehe 05 Julai, 2023.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...