WAKALA wa usajili ufilisi na udhamini RITA Ni moja ya Taasisi inayotoa na inaendelea  na huduma kwenye Maonesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Hivyo  Wananchi wananufaika na maonyesho hayo huku wakijitoteza kwa wingi na kuendelea kupata huduma ya vyeti vya kuzaliwa kwa urahisi zaidi mpaka Sasa Wananchi waliojitokezaa na kufanya usajili huo   takribani zaidi ya wnanchi Elufu Moja na zaidi washajiandikisha na watapatiwa vyeti vyao kabla ya maonyesho hayo.






wananchi wakiendelea kuapata huduma 


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...