Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko ( wapili kutoka kushoto) akipewa elimu na Mhasibu Mwandamizi kutoka Kurugenzi ya Usimamizi wa Sarafu BoT, Bw. Omary Kitojo, kuhusu alama za usalama za noti zetu.
Afisa kutoka Tawi la BoT Arusha, Bi. Leah Ombeni, akitoa elimu kuhusu utambuzi wa alama za usalama za noti zetu kwa wananchi waliotembelea banda la BoT katika Maonesho ya Sabasaba yanayoendelea kwenye viwanja vya Mwl. Julius K. Nyerere jijini Dar es Salaam.
Afisa kutoka Idara ya Mawasiliano BoT, Bw. Faki Matauka, akielezea jambo kuhusu utambuzi wa alama za usalama za noti zetu kwa wananchi alietembelea banda la BoT katika Maonesho ya Sabasaba yanayoendelea kwenye viwanja vya Mwl. Julius K. Nyerere jijini Dar es Salaam.
Mratibu wa Mafunzo kutoka Chuo cha Benki Kuu ya Tanzania, Bi.Tulla Mwigune, akitoa elimu kuhusu Chuo cha Benki Kuu kwa wananchi waliotembelea banda la BoT katika Maonesho ya Sabasaba yanayoendelea kwenye viwanja vya Mwl. Julius K. Nyerere jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...