

.jpg)



Wakala wa Mauzo ya Simu, Isabela Nangabo (kushoto) akizungumza na mmojawapo wa wateja waliotembelea katika banda la Vodacom Tanzania katika maonyesha ya 47 ya Biashara ya Kimataifa ya Sabasaba yaliyoanza Juni 28 hadi Julai 13, 2023 katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, jijini Dar es Salaam kwa ajili ya manunuzi ya simu mwishoni mwa wiki. Katika msimu huu wa sabasaba watanzania watarudishiwa mpaka 10% ya pesa wakilipia bidhaa kwa simu (M-Pesa). Vile vile wanayo fursa ya kununua simu kwa bei nafuu kwa pesa taslimu au mkopo na kunufaika na hadi GB 96 kwa mwaka.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...