Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Selemani Jafo akipata maelezo kuhusu utendaji kazi wa kamera ya kurekodi matukio ya habari wakati alipofika kushiriki kipindi cha mahojiano ya moja cha Baraza kinachorushwa na Kituo cha Utangazaji cha Televisheni cha Shirika hilo kilichopo eneo la Mnazimmoja Zanzibar Julai 10, 2023. Anayetoa maelezo ni Mhandisi wa ZBC Bw, Mahmoud Hamza.






Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Selemani Jafo akitazama mfumo wa urushaji wa matangazo ya televisheni katika Shirika la Utangazaji Zanzibar wakati alipofika kushiriki kipindi cha mahojiano ya moja kwa moja cha Baraza kinachorushwa na Kituo cha Utangazaji cha Televisheni cha Shirika hilo kilichopo eneo la Mnazimmoja Zanzibar Julai 10, 2023. Anayetoa maelezo ni Mhandisi wa ZBC Bw, Mahmoud Hamza.




Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo akipokelewa na Mkurugenzi wa Habari na Matukio wa Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC), Bw. Salum Ramadhani Abdallah Julai 10, 2023 wakati alipokwenda kushiriki kipindi cha moja kwa moja cha Baraza kinachorushwa na Kituo cha Utangazaji cha Televisheni cha Shirika hilo kilichopo eneo la Mnazimmoja Zanzibar.

(PICHA NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS)


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...