Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 11, 2023 amekutana na Balozi wa Qatar nchini Tanzania anayemaliza muda wake, Mheshimiwa Hussain Ahmad Al-Homaid katika Ofisi kwake Oysterbay, Dar es Salaam.
Pamoja na mambo mengine, Mheshimiwa Majaliwa amemuomba Balozi Homaid akawe balozi mzuri wa kuitangaza Tanzania kwa sababu anafahamu vizuri fursa zilizopo nchini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...