Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis akipokea taarifa ya Mkutano wa 19 Wataalamu kutoka nchi za Afrika mara baada ya kuwasili katika Ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Ethiopia kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 19 wa Baraza ka Mawaziri wa Mazingira wa Aafrika unaotarajiwa kufanyika jijini Addis Ababa kuanzia leo tarehe 17 hadi 18 Agosti, 2023.

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...