


Afisa Mifugo Mtafiti mwandamizi wa Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania-TVLA Dkt. Ronald Benju akifanya uchunguzi kupitia upasuaji wa Mzoga wa kuku ulioletwa na Mfugaji ili kutambua Magonjwa yaliyo sababisha vifo vya kuku wake alipotembelea banda la TVLA lililopo kwenye maonesho Nanenane yanayoendelea katika uwanja wa Nyamhongolo uliopo Mkoa wa Mwanza Agosti 5, 2023.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...