JUMLA ya Vijana 763 wahitimu wa awamu ya kwanza ya mafunzo ya programu ya Jenga Kesho iliyo Bora (Build a Better Tomorrow - BBT), wametembelea eneo la mashamba ya pamoja ‘block farm’ lililopo Mlazo, Ndogowe ambapo watapatiwa na Serikali mashamba na maeneo ya makazi.

Eneo hilo ambalo lipo kwenye hatua ya maandalizi ni moja ya maeneo ambayo Wahitimu hao watakabidhiwa ardhi na hati kila mmoja kwa muda wa miaka 66.

Mratibu wa programu ya BBT, Bi. Vumilia Zikankuba amebainisha kuwa katika eneo hilo la Ndogowe zimepatikana hekari takribani 11,453 ambazo hazijawai kutumika katika shughul za kilimo.

Aidha, Mhe. Haruni Lucas Diwani wa Kata ya Mhambako, Mlazo ameipongeza Serikali ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa mradi huo wa BBT na ameahidi kutoa ushirikiano unaotakiwa.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...