Mashindano ya Ligi ya mpira wa kikapu mkoa wa Dar es Salaam yamemalizika usiku huu kwa mchezo uliozikitanisha timu za Dar City na JKT ambapo timu ya Dar City wameibuka kinara kwa ushindi mnono wa point 68 kwa 60 katika mchezo uliopigwa kwenye kiwanja cha Don Bosco, jijini Dar es salaam. Kwa upande wa wanawake mabingwa ni Vijana Queens
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...