Mashindano ya Ligi ya mpira wa kikapu mkoa wa Dar es Salaam yamemalizika usiku huu kwa mchezo uliozikitanisha timu za Dar City na JKT ambapo timu ya Dar City wameibuka kinara kwa ushindi mnono wa point 68 kwa 60 katika mchezo uliopigwa kwenye kiwanja cha Don Bosco, jijini Dar es salaam. Kwa upande wa wanawake mabingwa ni Vijana Queens




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...