Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Mamwenye wa Masasi mara baada ya kuhitimisha ziara yake kwa kuwahutubia wananchi wa Masasi Mkoani Mtwara tarehe 17 Septemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Kanali Ahmed Abbas Ahmed mara baada ya kuhitimisha ziara yake kwa kuwahutubia wananchi wa Masasi Mkoani Mtwara tarehe 17 Septemba, 2023.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...