Afisa Msimamizi wa Kodi Mwandamizi Bw. Joel Lema wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) akimuelimisha mfanyabiashara wa Mikese mkoani Morogoro wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi mlango kwa mlango ambayo imeanza leo mkoani hapa.
Afisa Msimamizi wa Kodi Mwandamizi Bi. Immaculate Chaggu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) akimuelimisha mfanyabiashara wa Mikese mkoani Morogoro wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi mlango kwa mlango ambayo imeanza leo mkoani hapa.
Afisa Msimamizi wa Kodi Mkuu Bi. Kissa Kejo wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) akifurahia jambo na mfanyabiashara wa Mikese mkoani Morogoro wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi mlango kwa mlango ambayo imeanza leo mkoani hapa.
Afisa Msimamizi wa Kodi Mwandamizi Bw. Freddy Mwesiga wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) akiwaelimisha wafanyabiashara wa Mikese mkoani Morogoro wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi mlango kwa mlango ambayo imeanza leo mkoani hapa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...