
Mradi huo unatarajiwa kuzalisha megawati 80 na kila nchi itapata megawati 27 katika gridi yake.
Kukamilika kwa mradi huu kutarahisisha na kuboresha upatikanaji wa huduma za umeme hasa katika mikoa ya kanda ya ziwa ikiwemo Kagera, Geita na Kigoma.
Akizungumza wakati wa ziara hiyo, Mwenyekiti wa Bodi ya EWURA, Prof. Mark Mwandosya amesema, kukamilika kwa mradi huo wa kihistoria kutaleta ongezeko la umeme kwa nchi zote tatu na kuchochea uwekezaji katika viwanda na kukuza uchumi.









Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...