Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Godfrey Chongolo leo Jumanne Oktoba 3,2023 amehudhuria na kushiriki kikao cha Balozi wa Shina namba 5, Ndugu Mikael Ndayambue Migelelo katika Tawi la Kapalamsenga, Wilaya ya Tanganyika, mkoani Katavi.
Ndugu Chongolo pia alitumia nafasi hiyo kusikiliza kero na changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi katika maeneo hayo, kuzitolea maelekezo ya kuzitatua pamoja na kukagua uhai wa Chama Cha Mapinduzi.


.jpeg)


Ndugu Chongolo pia alitumia nafasi hiyo kusikiliza kero na changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi katika maeneo hayo, kuzitolea maelekezo ya kuzitatua pamoja na kukagua uhai wa Chama Cha Mapinduzi.



.jpeg)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...