Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) alipokuwa akiagana na Balozi Hassan Mwamweta anaeiwakilisha Tanzania katika Nchi ya Berlin na Ujerumani akiwa ni miongoni mwa Mabalozi walipofika kujitambulisha na kumuaga Rais,Ikulu Jijini Zanzibar leo.[Picha na Ikulu] 04/10/2023.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) alipokuwa akiagana na Balozi Habibu A. Mohamed anaeiwakilisha Tanzania katika Nchi ya Doha,Qatar akiwa ni miongoni mwa Mabalozi walipofika kujitambulisha na kumuaga Rais,Ikulu Jijini Zanzibar leo.[Picha na Ikulu] 04/10/2023.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...