MJUMBE wa Kamati ya Utekelezaji Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Singida Ahmed Misanga amekabidhi mifuko ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya mtumishi wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania( UWT) Wilaya ya Ikungi katika mkoa huo Martha.
Mifuko ya saruji imekabidhiwa leo tarehe 18 Oktoba 2023 katika Wiki ya Maadhimisho ya UWT na Katibu wa Jumuiya ya Wazazi Wilaya ya Ikungi Hawa Kisuda aliyekabidhi kwa niaba ya Misanga.
Maadhimisho ya Wiki ya UWT kimkoa imefanyika katika Wilaya ya Ikungi hivyo Misanga ameona kuna kila sababu kutoa mifuko ya saruji na kumkabidhi mtumishi huyo kama sehemu ya kutambua mchango wake katika jumuiya hiyo.
Mifuko ya saruji imekabidhiwa leo tarehe 18 Oktoba 2023 katika Wiki ya Maadhimisho ya UWT na Katibu wa Jumuiya ya Wazazi Wilaya ya Ikungi Hawa Kisuda aliyekabidhi kwa niaba ya Misanga.
Maadhimisho ya Wiki ya UWT kimkoa imefanyika katika Wilaya ya Ikungi hivyo Misanga ameona kuna kila sababu kutoa mifuko ya saruji na kumkabidhi mtumishi huyo kama sehemu ya kutambua mchango wake katika jumuiya hiyo.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...